Sunday, June 30, 2013

NAPENDA SANA MILA NA DESTURI ZA KWETU


VIKUNDI VYA NGOMA ZA ASILI VYACHUANA KATIKA UWANJA WA KAITABA

VIKUNDI VYA NGOMA ZA ASILI VYACHUANA KATIKA UWANJA WA KAITABA

MWANAUME AKATWA MAPANGA AKIDAIWA KUCHUKUA MKE WA MTU HUKO TABORA


 
 Ramadhani Mahanga ambaye amenusurika kuuawa baada ya kukatwakatwa mapanga na kijana mwenzake anayefahamika kwa jina la Juma  Hamisi ambaye alidai anatembea na mkewe na hivyo kuchukua uamuzi wa kutaka kumuua  katika kijiji cha Isenga manispaa ya Tabora.

Baba wa kijana  Juma Hamisi ambaye anadaiwa kumkatakata  mapanga Ramadhani Mahanga akiwa amekwenda kumjulia hali katika Hospitali ya mkoa wa Tabora Kitete ambako amelazwa kwa ajili ya matibabu.

NA KAPIPIJ

KAMERA ZA JUMBA LA BIG BROTHER ZAMUANIKA POKELLO WA ZIMBABWE AKIWA MTUPU ....

Mshiriki  wa  Zimbabwe  ( POKELLO )  katika  shindano  la  Big Brother  Africa  amejukuta  akiumbuka tena  baada  ya  kamera  za  jumba  hilo  kumuanika  akiwa  mtupu  kama  alivyozaliwa  ndani  ya  mabafu  ya  jengo  hilo...

Hii  ni  nafasi  nyingine  ya  kipekee  kwa  wafuatiliaji  wa  shindano  hilo  ambao  hawakubahatika  kuiona  sinema  hiyo ya  bure.

Kuitazama  video  ni  sharti  uwe  mtu  mzima  na  ni  hiari  pia.


SUMAYE AWAASA VIJANA KULINDA TAIFA LAO NA WASIKUBALI KUNUNULIWA MWAKA 2015


http://muleba-kwetu.blogspot.com


WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ametaka vijana kusimama imara kulinda na kulijenga taifa lao.


Alisitiza maendeleo ya taifa hili, katu hayataweza kusonga mbele, kama viongozi wake wataendelea kuendeleza vitendo vya rushwa na biashara ya dawa za kulevya.


Aidha, alisema ataendelea kupiga vita tatizo la rushwa lililopo nchini, licha ya suala hilo kuonekana kuwa mwiba mchungu kwa baadhi ya watu, ambao ili kujiepusha na ‘alizoziita kelele zake’. Aliwataka kujisafisha dhidi ya vitendo hivyo.


Sumaye alitoa kauli hiyo jana katika Viwanja vya Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam aliposhiriki mazoezi ya kujenga mwili na mamia ya vijana kutoka klabu mbalimbali za Dar es Salaam. Mazoezi hayo yaliandaliwa na Klabu ya Ukwamani iliyopo katika kitongoji cha Kawe.


Alisema vijana ndiyo hazina ya Taifa kwa ajili ya maendeleo ya baadaye. Alisema kwamba pasipokuwepo na dhamira ya dhati ya kuwajengea misingi imara ya maisha yao, ni wazi Taifa litakosa viongozi bora miaka ijayo.

Alisema ni lazima kazi ifanyike badala ya kukaa na kuwaita ‘bomu linalotaraji kulipuka’.


Alisema kumekuwa na kauli mbalimbali zinazotolewa kuhusu vijana kuwa ndiyo wanaochochea vurugu katika maeneo mengi nchini, hivyo kuwajengea taswira mbaya aliyosema kuwa si jambo la busara kwa kuwa hawajapewa nafasi katika maeneo mbalimbali ili waweze kusukuma mbele maendeleo ya Taifa hili.


“Vijana msirudi nyuma, fursa zipo nyingi endeleeni kuzitumia, pale mnapoona hakuna nafasi hiyo tumieni fursa hiyo kuwauliza viongozi walioko juu yenu, hakutakuwa na bomu linalosubiri kulipuka kama mtawekewa misingi mizuri na msikate tamaa katika hilo,” alisema Sumaye.


Kuhusu rushwa aliwataka vijana hao kuwa makini nayo kwa kuwaepuka wale wote wanaotoa fedha ili kupata uongozi na kuongeza kuwa wale watu wote wanaofanya hivyo wanakuwa na lengo lao, hivyo ni vyema wakawaepuka mapema ili kujilinda.


Alisema rushwa kwa kiasi kikubwa ndiyo inayochangia kudidimiza maendeleo ya Taifa na kwamba wanaotoa fedha wanajua ni namna gani watairudisha hapo baadaye badala ya kuwaletea maendeleo.


“Hata uchaguzi unaokuja utawaona wanajipitisha kwa kutoa fedha, khanga na vitu vingine, nawaomba mtambue kuwa anayetoa vitu hivyo jua ni wazi kuwa amejiona hatoshi katika uongozi hivyo ni vyema akaepukwa,” alisisitiza Sumaye.

WAPENZI WADONDOKA NA KUFA WAKATI WAKIFANYA MAPENZI DIRISHANI


Wapenzi wameanguka na kufa baada ya dirisha walipokuwa wakifanyia mapenzi kufunguka ghafla nchini China.

Wawili hao wanasemekana kudondoka kutoka kwenye dirisha la jengo moja la makazi kwenye jiji la Wuhan nchini humo pale dirisha hilo walilokuwa wameegemea kufunguka.


Mashuhuda walivieleza vyombo vya habari vya China kwamba wapenzi hao walikumbatiana wakati wakianguka kwenye njia ya waenda kwa miguu nje.

Kwa mujibu wa The Sun, chanzo kimoja cha habari kilisema: "Huku wawili hao wakiwa wameshikamana vilivyo, walianguka nje ya jengo hilo."

Picha za kuogofya zimefichuliwa kwenye tovuti za nchini humo zikionesha wapenzi hao wakiwa wamefunikwa kwa mashuka na polisi.

Damu ilitapakaa kwenye njia ya waenda kwa miguu karibu na wapelelezi wanaonekana wakichunguza eneo la tukio.


Miili ya wapenzi hao ilipigwa picha karibu na baiskeli ambayo ilikuwa imelazwa chini, lakini hakukuwa na ripoti zozote kwamba yeyote chini alikuwa amejeruhiwa katika ajali hiyo.

Ripoti zinasema kwamba madirisha hayo kwenye jengo hilo la makazi yalikuwa hayana ubora unaotakiwa.

Inafikiriwa kwamba mwanaume huyo na mwanamke wanawezekana walikuwa wakijaribu kujipooza kando ya dirisha hilo ndipo tukio hilo likatokea.

Haikufahamika ni umbali gani kutoka juu wawili hao walikuwa wakati wakianguka.
 

Wuhan ni jiji maarufu zaidi lililopo katikati ya China.
Ukiwa na historia ya miaka 3,500 ni moja kati ya miji mikongwe na iliyostaarabika katika China.


zero99

BINTI AOZA MKONO BAADA YA KUANGUKA KATIKA BAISKELI....MADAKTARI WAMESHINDWA KUUPONYA, MAOMBEZI YAHITAJIKA



Janeth Nicholaus (25)mkazi wa Rwanzari Manispaa ya Tabora akionesha mkono wake wa kulia ukiwa tayari umeanza kuoza baada ya kupata ajali ya baiskeli maarufu daladala wakati akitokea nyumbani kwenda Soko kuu la Tabora mjini ajali ambayo ilitokea kwenye makutano ya barabara ya NBC. 

Huu ndio mkono wenyewe unavyoendelea kuharibika baada ya kupita hospitali kadhaa hapa Tabora mjini na kushindikana kupona lakini sasa aliamua kufika kwenye huduma ya Maombezi  Kanisa la AGAPE MIRACLE CENTER Mwanza road Tabora manispaa kwa Mchungaji Mbagata. 

NA KAPIPIJ

PICHA: RIHANA AZIANIKA NYETI ZAKE TENA....

Hii ni  makusudi au ni bahati mbaya, msanii kutoka nchini marekani ambaye ni rihanna amekua katika aibu nzito siku za hivi karibuni baada ya picha yake ya mara ya kwanza kuonesha nyeti yake, leo hii picha ya msanii huyo ambayo imeonyesha live maungo yake (nyeti) wakati alipokua beach..., hapana chezea mapaparazi..

Sharti uwe na miaka 18 kuangalia picha hii..
 

WANAWAKE HUPENDA KUFANYA MAPENZI JUMAMOSI SAA 5 USIKU




Utafiti mpya na wa kina kabnisa umeonesha kuwa asilimia 85 ya wanawake duniani kote huwa wanafanya mapenzi saa 5 usiku kila Jumamosi.

 Kwa mujibu wa utafiti huo uliozingatoa vigezo vya kibinadamu, saa 5 usiku siku ya Jumamosi ndiyo muda ambao wanawake wengi wanajisikia hamu ya kufanya tendo la ndoa kuliko muda mwingine wowote katika siku saba za wiki.
Asilimia 85 ya wanawake waliohojiwa katika utafiti wa kiafya, walikiri kufanya kujisikia zaidi hali ya kutaka kufanya mapenzi muda huo katika siku ya Jumamosi kuliko muda mwingine wowote.

Utafiti mkubwa ulifanywa katika nchi za Kusini Mashariki, Magharibi Mashariki  na meneo ya Scotland ambapo wanawake walisema muda huo mwili wenyewe huwa unahitaji kukutana kimwili na wanaume wenye uzoefu wanalijua hilo bila kuombwa wanapokuwa kitandani.


Aidha, utafiti mwingine umebaini kwamba, asilimia 75 ya wanawake duniani kote wanapenda kufanya mapenzi mara tatu kwa wiki, ikiwemo siku hiyo ya Jumamosi.
Kazi iko pale ambapo utafiti umeonyesha kuwa asilimia 25 ya wanawake dunaini kote hupenda kufanya mapenzi kila siku katika muda wa siku saba. Kundi hili la wanawake ndilo linalohusika zaidi na usaliti katika uhusiano na pia watafiti wanadai kuwa, katika asilimia hiyo 25, 23 hukumbwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

Home Comedy Zone BEYONCE NA KIVAZI CHA KANGA, ILIYOTENGENEZWA NA MBUNIFU WA KITANZANIA


clip_image001[6]Christina (katikati)
Utajiskiaje kuona Beyonce akiwa amevaa vazi lililotengenezwa kwa kanga yenye maneno ya Kiswahili? ‘Wawili Ninyi Yawahusu….’ yanasomekana maandishi kwenye vazi alilolivaa mwanamuziki wa Marekani, Beyonce Knowles.clip_image001Vazi hili alilolivaa Beyonce kwenye moja ya show zake za tour ya Mrs Carter, limetengenezwa na mwanamitindo wa Tanzania aishie jijini London Uingereza, Christine Mhando mwenye brand ya Chichia London. Chichia London ndio brand iliyo maarufu sana nchini Uingereza kwa kutengeneza nguo za Kitanzania kwa kutumia Kanga na material mengine Kiafrika.
Hizi ni baadhi ya nguo alizotengeneza.clip_image001[8]
clip_image001[10]clip_image001[12]

JACK WOLPER ADAI KUWA ANAPENDA KUTEMBEA NA "SERENGETI BOYS" KWA SABABU WANAYAJUA MAPENZI UKILINGANISHA NA WATU WAZIMA WENYE PESA ZAO



Nyota wa tasnia ya filamu , Jaqueline Wolper ‘Wolper Gambe’ amedai kuwa hawapendi sana wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni waume za watu...

Wolper anadai kuwa nao si rahisi kuonyeshwa mapenzi yao ya dhati  kwani mapenzi yao ni ya  chumbani tu...


" Unajua unapokuwa na mtu mwenye fedha zake , alafu mtu mzima, ni  lazmia  ukose  penzi la kweli kwani mapenzi yenu ni chumbani tu, hamuwezi kutembea pamoja kukaa kama vile ni wapenzi ...


"Lakini ukiwa na kijana ambaye hana pesa na wewe una kazi lazima akuonyeshe jinsi mapenzi yalivyo kwa kukuweka karibu kimahaba na wewe ukafaidi penzi kutoka kwake..

“Wanaume wengi wenye  pesa zao huniona  nina dharau, lakini mimi ni binadamu nahitaji haki yangu kama mwanamke .
 
"Kuna watu wanaamini pesa zao ndio kila kitu, kiukweli kwangu siyo hivyo , ukileta mapenzi hayo lazima unione nina dharau”,anasema Wolper Gambe.

Wolper  anadai kuwa  kuna watu ambao huwanyooshea vidole wasanii maarufu kama yeye kwa kuwaona kama vile ni Malaya lakini wanasahau kama nao ni binadamu na wanaroho kama wanadamu wengine....
 
Jack Wolper anasema wao si malaika , wanapenda na kupendwa, kwa hiyo ukimuona ana kijana Serengeti boy ujue ni kwa ajili ya kupata penzi nzito na kusikilizwa haja zake.
source:mpekuzi

Saturday, June 29, 2013

HUYU NDO MSANII WA BONGO MOVIE ANAYEDAI KUWA YEYE NI BIKRA NA HAMJUI MWANAUME


Mwigizaji wa kike anayetesa katika tasnia ya filamu Bongo Diana Rose kimaro ‘Diana’ amedai kuwa hana mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote na wala hafikirii kuwa na Boyfriend kwani yeye bado ni mwanafunzi na akili yake yote ipo katika masomo .


Wakati ukifika akiwa na maisha yake atachagua ni mwanaume yupi anastahili kuwa naye kwa maisha yake rasmi lakini si sasa.
 
“Sijui kabisa mambo hayo na sijawahi kufanya upuuzi huo, ninaheshimu sana familia yangu baba yangu ni mkali sana hataki ujinga. Kwa hiyo si rahisi kudili na wanaume, mimi ni  bikira , natoa nafasi kwa masomo kwanza sitaki kujichanganya na kuwa kituko mjini,” anasema Diana.

MAOFISA WA MAREKANI WADAI KUWA WAO NDO WATAPANGA MAWAZIRI WA TANZANIA WATAKAORUHUSIWA KUSHIKANA MKONO NA OBAMA AKIJA DAR



Wakati magari 150 ya msafara wa ziara ya Rais Barack Obama yamewasili nchini, majina ya mawaziri wa Tanzania yatakayoruhusiwa kumpokea kiongozi huyo kuchujwa na makachero wa FBI.

Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Moses Malaki aliliambia gazeti hili jana kuwa matayarisho ya ujio wa Rais huyo ni kabambe na hayajawahi kutokea katika historia ya Tanzania.


Pia alisema shughuli za kumpokea Rais Obama, anayetarajiwa kutua Jumatatu saa 8:40 mchana, zitaanza asubuhi kwa maofisa wa Marekani kushika majukumu yote katika uwanja huo, ikiwemo kuongoza ndege, ukaguzi wa abiria na mizigo, kwa maana wafanyakazi wa uwanja huo kuwa likizo kwa siku mbili.


“Wamesema kuwa wao watasimamia kila kitu kuanzia wageni watakaoingia na kutoka na wataamua nani aingie na kutoka,” alisema Malaki.



Aliongeza kuwa japokuwa Mamlaka ya Anga Tanzania (TAA) inaendelea kufanya kazi zake kama kawaida, lakini Jumatatu, Wamarekani watasimamia kila kitu hadi ukaguzi wa wageni.


“Siku hiyo mwongoza ndege wa TAA, atafanya shughuli kidogo, mambo mengine yatafanywa na wao,” alisema.


Idadi ya maofisa wa Tanzania

Imebainika kuwa hata idadi ya maofisa wa Tanzania wakiwemo viongozi watakaompokea pia itapangwa na Wamarekani wenyewe.

“Wenyewe wana orodha yao na wanajua nani atakuwepo au hatakiwi kuwepo katika kundi la wageni watakaompokea Rais Obama,” alisema na kuongeza:
 

“Nilimuuliza Ofisa Usalama wa Marekani iwapo nitaweza kumwona Rais Obama, akaniambia: Utamwona ukibahatika kuwepo kwenye orodha.”
 

Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe naye alikiri kuwa mawaziri wanaotakiwa kuwepo katika msafara wa kumpokea Rais Obama ni wachache watakaochaguliwa tu na Wamarekani, baada ya kuyapitia na kuyachunguza majina hayo kwanza kabla ya kuyakubali.
 

“Hii sijawahi kuiona, hata sisi wenyewe tunateuliwa na wakishayapitia wataamua, nani aende au asiende,” alisema Chikawe.

Mwananchi

OBAMA ATOA SABABU ZILIZOMFANYA ASIENDE KENYA KWA SASA... SABABU KUBWA NI KESI YA UHURU KENYATTA NA MAKAMU WAKE



US President Barack Obama said Saturday the “timing was not right” for him to travel to Kenya, his father’s homeland, during his current Africa tour, but he expected to go there many times in the future.

Obama said the new government of President Uhuru Kenyatta was still finding its feet after an election in March, and that Nairobi was “still working out issues with the international community”.

He was referring to a looming trial for Kenyatta and Vice President William Ruto at the International Criminal Court for their alleged roles in deadly violence that killed more than 1,000 people after 2007 polls.

“The timing was not right for me as president of the United States to be visiting Kenya when those issues need to be worked on,” Obama said.

But the US leader said he had visited Kenya multiple times before he was president and expected to return.

“My personal ties to the people of Kenya, by definition are going to be strong and will stay strong,” he said.

Obama’s Africa tour started in Senegal, and he is currently in South Africa. He will wrap up his week-long journey in Tanzania.

Source: Capital fm

DIVA WA CLOUDS FM AMVAA TENA HUDDAH....KISA NI PENZI LA PREZZO



Kama utakua ni muumini wa twitter lazima utakuwa unajua kinachoendelea kati ya mshiriki wa BBA kutoka Kenya (2013), Huddah na mtangazaji Diva Loveness love.
kiufupi ni bif kupitia twitter kisa kikiwa ni CMB Prezzo

Katika interview iliyofanywa  na Huddah, mrembo huyo wa Kenya  amesema hana uhusiano na Prezzo, ni rafiki yake tu, na hana beef yoyote na Diva na kwanza hamfaham.

"you know mimi hupenda kutoa maoni yangu, so saa ile mi natoa maoni yangu mtu ana-judge vingine, mi sina bif na Diva, na simjui, na kama uli-notice i only replied three times."

unajua mi niliandika "lol" after seeing her tweet calling Prezzo "baby", why? i just find it funny, so yeye ndio akawa anaandika all that" amesema Huddah

kwa inavyoonekana Diva alikua akisikiliza radio wakati interview ikiendelea, na haikumchukua dakika nyingi , akaibuka  katika  mtandao wa twitter:

Thursday, June 27, 2013

WANAWAKE MSIENDE KWA KARUMANZILA, UKWELI NI HUU HAPA...!



Stacey Tantleff-Dunn mtalamu wa afya ya ulaji na mwonekano anasema kwamba, vipimo vya uzuri kwa wanawake vimegawanyika. Kwa kawaida wanaume hupima uzuri wa mwanamke kwa sura au mwili, lakini linapokuja suala la kupata mtu ambaye wanataka kuishi naye kama mke, suala la haiba, yaani tabia na mwenendo, linachukua nafasi kubwa.

Wale wanawake ambao wanapendeka, ambao wana haiba na mienendo mizuri hata kama wangekuwa wabaya kwa sura na umbo, bado wako kwenye nafasi ya kuhesabiwa kuwa ni wazuri. Hawa ndiyo ambao hupata wanaume kirahisi. Wataalamu wa uzuri, hivi sasa wanasisitiza kwamba, kama mwanamke anataka kweli kuingia mahali ambapo ataanza kuonekana ni mzuri katika maisha yake yote, inabidi ajifunze kuwa na haiba na mwenendo unaovutia.

Uzuri wa sura na umbile huwavuta wanaume kuwa karibu na mwanamke na kuanzisha uhusiano, hasa wa kimwili. Lakini, hivi sasa imebainika kwamba, haiba na mwenendo wa mwanamke ndizo silaha zake, linapokuja suala la mwanaume kufanya uamuzi wa aishi na nani. Pamoja na kujali sura na umbo, haiba bado ndiyo kigezo cha ndani kabisa cha uamuzi. 

“Inaonekana wanaume wanarejea kwenye mfumo wa kale kabisa wa kuoa kufuatana na uwezo wa mwanamke kufanya kazi za kuzalisha, kutunza watoto na familia, kwa kuangalia familia alimotoka. Hii ina maana kwamba, uzuri wa sura na umbo kwa wanawake unabakia zaidi kwenye biashara.”

Tafiti zinaonyesha kwamba, hivi sasa wanaume wameanza pia kujali zaidi uzuri wa kutenda. Wanaume wengi wanaangalia kama mwanamke anaweza kuifanya familia kuwa imara kimapato na kimaadili, kuliko kufikiria uzuri na usomi. Inaonekana wanaume wanarejea kwenye mfumo wa kale kabisa wa kuoa kufuatana na uwezo wa mwanamke kufanya kazi za kuzalisha, kutunza watoto na familia, kwa kuangalia familia alimotoka. Hii ina maana kwamba, uzuri wa sura na umbo kwa wanawake unabakia zaidi kwenye biashara.

Ni wazi wanawake wazuri kwa sura na umbo, wana soko la haraka kwa wanaume. Hivyo ni wanawake wa kuchezewa zaidi kuliko kuolewa. Hata ukiacha tabia, wanaume wamefundishwa kuogopa wanawake wazuri sana. Wanaamini kwamba, mwanamke mzuri sana anaweza kusumbua sana. Na ni kweli, wengi husumbua, hasa wakishajua kwamba, wana uzuri wa kiwango kikubwa.

Watafiti wanakiri kwamba, wanawake wazuri sana kwa sura na umbo, huwa wanawasababishia waume zao maradhi ya moyo, shinikizo la juu la damu, kuharibu shughuli zao na hata kuwafanya kupata matatizo fulani ya kiakili. Hii inatokana na wanaume hao kuwa katika mashaka ya wake zao kuchukuliwa muda wowote kutokana na uzuri wao.

Ndiyo maana takwimu zinaonyesha kwamba, wanaoolewa zaidi hivi sasa ni wale wanawake ambao jamii imekuwa ikiamini kuwa ndiyo wabaya kwa sura au umbo, lakini ambao wana haiba na mienendo mizuri. Hata ndoa zinazodumu, inaelezwa kwamba, ni zile za wanawake wabaya kwa sura au umbo lakini ambao wana haiba na mienendo mizuri. Ndoa za wanawake wazuri kwa sura na umbo, hazina umri mkubwa…….

WANAUME BWANA, HIVI MKIONA UCHI WA MWANAMKE MNAPATA NINI?

Wanaume wengine hata wakiona hivi huchanganyikiwa!



Kuna wakati huko Berlin, nchini Ujerumani, kulikuwa na unesho ambapo wanawake walikuwa wakionesha maungo yao kwa malipo. Wanawake hao walikuwa wakionesha maungo hayo kwa wanaume ambao wanaamini kwamba, kuona sehemu uchi wa mwanamke ndicho kilichowaleta hapa duniani.

Hebu sikia ujinga huo zaidi. Waandaaji wa onesho hilo ambalo lilihusisha wanawake wapatao 100 wa umri wa miaka 19 hadi 65 walilazimika kuwaita Polisi ili kudhibiti midume iliyokuwa ikifanya fujo wakati wa kukata tiketi kila mmoja akitaka awe wa kwanza kuingia kwenye onesho hilo.

Kila mmoja alikuwa akitaka awahi yeye kuona sehemu za siri ambazo bila shaka mkewe na watu wengine wa jinsia ya kike wanaomzunguka wanazo!

Mwandaaji wa onesho hilo, Vanessa Beecroft, ambaye ndiye mgunduzi wa njia hii ya kujipatia fedha kirahisi kutoka kwa wanaume hao wasio na haya, hufanya maonesho haya kwa jina la VB55 kwa nyakati na miji tofauti Ulaya.

Msije mkashangaa siku akija na huku Afrika kujichotea mamilioni ya dola, au akajitokeza mjanja mwingine huku Afrika na kuanzisha hayo maonesho, naamini wanaume watauana wallahi.

Wednesday, June 26, 2013

HARUSI YA PAUL JAMES MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA POWER BREAKFAST CHA CLOUDS FM


Picha za harusi ya Paul James na Beatrice, Paul James Mtangazaji wa Clouds FM Kipindi cha Power Breakfast, Harusi ilifungwa siku ya JUmamosi 22/6/2013 jijini Dar es salaam.

credit:Clouds fm blog

"TUTAIFUTA CHADEMA ENDAPO ITABAINIKA KUWA WALIRUSHA BOMU LA ARUSHA WENYEWE"....TENDWA


Msajili wa Vyama vya Siasa nchini John Tendwa,  amedai kuwa ikibainika kuwa CHADEMA ndio waliohusika katika kulipua bomu katika mkutano wao wa 15/06/2013 atakifuta.
Tendwa  ameyasema   hayo alipokuwa akizungumza katika kipindi cha Hot Mix cha East Africa Television akijibu swali la mtangazaji wa kipindi Adrian Stepp  kuhusu  hatua  zitakazochukuliwa...
Alipoulizwa kama itathibitika kuwa CCM ndio walihusika kulipua bomu hilo amedai kuwa hawezi kukifuta kwakuwa kwa kufanya hivyo itakuwa ni kufanya mapinduzi ya kalamu.

Read more: http://talkbongo.blogspot.com/2013/06/tutaifuta-chadema-endapo-itabainika.

SIKU YA HARUSI YA WASIWASI MWABULAMBO MTANGAZAJI WA JAHAZI LA CLOUDS FM

Harusi ya Wasiwasi Mwabulambo na Janeth ilifungwa kwenye Kanisa La Kilutheri Boko Dar Es Salaam Na Baadae kwenye tafrija iliyofanyika Mbezi Beach siku ya Jumamosi 22/6/2013.Clouds Media Group intakutakia maisha mema ya ndoa na Mungu awaongeze katika kila jambo..Amen.

ILO NA TACAIDS WAENDESHA KONGAMANO LA KUJADILI MIKAKATI YA KUWAWEZESHA WANAWAKE, WASICHANA NA WAVULANA KIUCHUMI

IMG_2657
Mkurugenzi wa Shirika la Kazi Kanda ya Afrika Mashariki nchini Tanzania (ILO) Bw. Alexio Musindo amesema kupitia msaada kutoka Serikali ya Sweden wa kifedha ILO iliweza kuwahusisha wasichana na wavulana katika makundi mbalimbali wenye vipato vidogo kupata uelewa wa Afya ya Uzazi kupitia Makongamano, Semina na Mafunzo mbalimbali yaliyoendeshwa na shirika hilo la kazi Duniani.
Ameongeza kuwa “tuliwasaidia kuwaunganisha na vikundi vya kuweka na kukopa ili waweze kupata mitaji midogo midogo ya kufungua biashara ndogo ndogo katika harakati za kuwafanya wajitegemee na kuepekana na vishawishi vya Ngono isiyokuwa Salama.
Bw. Musindo amesisitiza Umuhimu wa TACAIDS kuandaa makongamano kama haya ili kuwawezesha wasichana na wavulana wadogo kupata ufahamu uelewa na mafunzo ya uzazi wa Afya na jinsi ya kuelewa mabadiliko yao ya kimaumbile.
“Ni matumaini yangu mwingiliano huu wa Utamaduni wa kupambana na Ukimwi, Kinga na Uwezeshwaji wa Kiuchumi umefanyika vizuri, hasa katika kuyalenga makundi yaliyo katika mazingira magumu itasaidia kuongeza kasi ya kupunguza maambukizi mapya kama ilivyoripotiwa na ripoti ya UNAIDS mwaka 2012 Duniani kwamba maambukizi mapya yamepungua kwa Asilimia 20”. Amesema.
IMG_2710
Sehemu ya washiriki wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa leo kwenye Kongamano hilo.
IMG_2731
Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Kijakazi Mtengwa akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo amesema mikakati ya kuwawezesha Wanawake Kiuchumi inaweza kupunguza hatari ya kupata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kwa Wanawake, Wasichana na Wavulana wadogo.
Amesema Jamii lazima itambue kuwa juhudi zaidi zinahitajika ili nchini yetu iweze kufikia malengo ya 0.3 yaani Tanzania ambayo haina maambukizi mapya ya VVU, Ukimwi usiwe sababu ya vifo, vile vile pasipo unyanyapaa wala ukatili kwa mtu yeyote anayeishi na Virusi vya Ukimwi.
IMG_2702
Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho akizungumza na washiriki amesema Takwimu zinazonyesha Wanawake wako katika hali ya hatari ya kuambukizwa zaidi kuliko wanaume ambapo mpaka sasa ni Asilimia Sita ya Wanawake nchini huambukizwa wakati wanaume ni Asilimia 3 nchini nzima.
Dr. Mrisho alisisitiza umuhimu wa kumwezesha mwanamke kiuchumi kama ndio moja ya suluhisho la kumfanya kutokuwa tegemezi katika jamii.
“Amesema takwimu zinazonyesha katika nchi nyingi za Kiafrika umaskini unachagia sana kuenea kwa Ukimwi maana Wanaume wengi hutumia umasikini wa Wasichana au Kinadada kuwarubini kwa fedha na kufanya nao Ngono isiyosalama”.
Dr. Fatma Mrisho amepongeza juhudi za ILO na kuwataka mashirika mengine na wadau wa mapambano dhidi ya Ukimwi kuiga juhudi zilizofanywa na ILO za kuandaa makongamano ya kiuchumi ili kumwezesha Mwanamke na wavulana wadogo kujitambua na kuelewa jukumu lao katika mapambo ya VVU na Ukimwi nchini.
IMG_2737
Meza Kuu: Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Ukimwi Tanzania (UNAIDS) Dr. Hedia Belhadj, Mwakilishi kutoka TUCTA Bw. Hezron Kaaya, Katibu Mkuu wa Wizara ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Kijakazi Mtengwa, Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho, Mkurugenzi wa Shirika la Kazi Kanda ya Afrika Mashariki nchini Tanzania (ILO) Bw. Alexio Musindo, Mkurugenzi wa Sera na Utetezi wa Chama cha waajiri Tanzania (ATE) Bi. Justina Lyela.
IMG_2723
Mwakilishi kutoka shirikisho la wafanyakazi Tanzania (TUCTA) Bw. Hezron Kaaya alisisitiza mshikamano na umoja wa wafanyakazi katika mapambano ya VVU na Ukimwi sehemu za kazi.
Bw. Kaaya amesisitiza majadiliano kama hayo yasiishie kwenye makabrasha bali wayatekeleze kwa vitendo ili kuleta matokeo chanya kwenye jamii.
IMG_2721
Mkurugenzi wa Sera na Utetezi wa Chama cha waajiri Tanzania (ATE) Bi. Justina Lyela akitoa nasaha zake kuhusu viwango sawa vya malipo ya mishahara kwa wafanyakazi nchini ili kuwakomboa wanawake na kipato kidogo makazini.
IMG_2709
Picha juu na chini ni sehemu ya washiriki kutoka ndani na nje ya nchini wa Kongamano la kuwawezesha Kiuchumi Wanawake, Wasichana na Wavulana dhidi ya Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi lililofanyika leo jijini Dar na kuratibiwa kwa pamoja kati ya ILO na TACAIDS.
IMG_2632
IMG_2654
IMG_2741
Washiriki wa Kongamano hilo wakiangalia baadhi ya machapisho mbalimbali ya VVU na Ukimwi.
IMG_2745
Picha juu na chini mgeni rasmi katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano hilo la siku moja lililofanyika jijini Dar es Salaam.
IMG_2758