![]() |
Na Livingstone Mkoi
Katika halisi isiyokuwa ya kawaida na
kuhudhunisha kijana mmoja makazi wa Kariakoo Jijini Dar hivi karibuni
alichezea kichapo hadi kung'olewa meno kisa mke wa mtu.
Tukio hilo lililotokea maeneo ya Coco
Beach Jijini Dar na kushuhudiwa na camera zetu ambapo chanzo
kilidaiwa ni kufumwa akimtongoza mke wa mtu ndipo alipokumbwa na
kashikashi hiyo.
Hata hivyo hadi mwandishi wetu anaondoka
eneo la tukio aliacha kijana huyo akiwapigia simu ndugu zake waje
kumsaidia kwa kumpeleka Hospital kwa ajili ya matibabu.
|
KARIBU TUJUZANE MENGI KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI.UNARUHUSIWA KUCHANGIA CHOCHOTE LAKINI KISIVUNJE SHERIA ZA NCHI NA JAMII KWA UJUMLA.
Saturday, April 6, 2013
ALA KICHAPO HADI KUNG'OLEWA MENO KISA MKE WA MTU!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment