JESHI la Polisi linawashikilia watu wanne wa mtandao wa utapeli wa
biashara ya madini bandia, huku mmoja wao akikutwa na kitambulisho
bandia cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi nchini (JWTZ) chenye cheo cha
Kapteni kikionesha kuwa aliwahi kushiriki vita ya Kagera na kupata
medali ya vita.
Polisi pia wanawashikilia watu wengine wanne wanaosadikiwa kuwa ni
majambazi ambao walikamatwa wakiwa na mirungi katika baa ya Muleba
iliyoko Mabibo jijini Dar es Salaam wakiwa na bastola yenye uwezo wa
kubeba risasi 12 pamoja na simu za mkononi. Kamanda wa Polisi wa mkoa
huo, Charles Kenyela alisema jana kuwa mbali na watu hao, Jeshi la
Polisi linawashikilia pia wanawake wanaofanya biashara ya
…read more
Source:
HabariLeo
No comments:
Post a Comment