Pamoja na Mvua Kubwa iliyonyesha jana katika jiji la Dar-es-Salaam Maelfu Ya Wakazi wa Jiji la Dar wamejitokeza katika Tamasha la Pasaka lililofanyika katika Uwanja wa Taifa.
Tamasha
Pasaka ni Tamasha linalofanyika Kila Mwaka mara moja katika Msimu wa
Pasaka ambapo wanamuziki wa nje na ndani ya Tanzania wanakuwa na muda wa
pamoja wa Kusifu na Kumwabudu Mungu.
Mwaka 2013 Kauli Mbiu ya Tamasha ni Amani na Utulivu ambapo fedha zitakazopatikana ni maalum kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu. Katika siku ya leo Mgeni rasmi alikuwa ni Mhe. Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye mara kadhaa alipata shuruba ya kupigiwa makelele mara kwa mara kutokana na kukatika katika kwa umeme mara kwa mara.
Mwanamuzi Mwalikwa wa Mwaka huu Kutoka Africa ya Kusini ni Sipho Makabane ambaye jioni ya leo amefanya Performance ya nyimbo 10 Mfululizo ndani ya uwanja huo na Kukonga nyoyo za watu waliohudhuria Tamasha la leo. Malkia wa Muziki wa Injili Tanzania Rose Muhando alifanya kile ambacho kilitarajiwa na Wakazi wa Jiji kwa Kuimba wimbo wa Utamu wa Yesu ulioombwa na Mhe. Mgeni rasmi.
Wanamuziki Wengine waliokuwepo siku ya jana ni Christ Ambassadors kutoka Rwanda, Solomon Mukubwa, Anastazia Mukabwa, Upendo Nkone, Upendo Kilahiro, John Lisu, Faraja Mtabobwa na Glorious Worship Team.
Mwaka 2013 Kauli Mbiu ya Tamasha ni Amani na Utulivu ambapo fedha zitakazopatikana ni maalum kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu. Katika siku ya leo Mgeni rasmi alikuwa ni Mhe. Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye mara kadhaa alipata shuruba ya kupigiwa makelele mara kwa mara kutokana na kukatika katika kwa umeme mara kwa mara.
Mwanamuzi Mwalikwa wa Mwaka huu Kutoka Africa ya Kusini ni Sipho Makabane ambaye jioni ya leo amefanya Performance ya nyimbo 10 Mfululizo ndani ya uwanja huo na Kukonga nyoyo za watu waliohudhuria Tamasha la leo. Malkia wa Muziki wa Injili Tanzania Rose Muhando alifanya kile ambacho kilitarajiwa na Wakazi wa Jiji kwa Kuimba wimbo wa Utamu wa Yesu ulioombwa na Mhe. Mgeni rasmi.
Wanamuziki Wengine waliokuwepo siku ya jana ni Christ Ambassadors kutoka Rwanda, Solomon Mukubwa, Anastazia Mukabwa, Upendo Nkone, Upendo Kilahiro, John Lisu, Faraja Mtabobwa na Glorious Worship Team.

Waimbaji
Wa Christ Ambassadors kutoka Rwanda walishuka Kutoka Jukwaani na kugusa
wanakazi wa jiji la dar na wimbo wao "Kwetu Pazuri"

Mwanamuziki Wa Injili wa Tanzania Upendo Kilahiro akienda sawa Siku Ya Leo

Upendo Nkone akiwa Jukwaaani

Anastazia Mukabwa kutoka Kenya akiwa na Rose Muhando ambao kwa pamoja wameimba wimbo wa "Kiatu Kivue"


Solomoni Mukubwa akiwa anapadna Stejini tayari kwa ajili ya Kuimba siku ya leo

Ephrahim Sekeleti Mwuimbaji Kutoka Zambia akiwa George Mpella na Hudson Kamoga

Glorious Worship Team wakienda Sawa siku Ya Leo

Malkia wa Muziki wa Injili Rose Muhando akiwa Kikazi Zaidi

Ephrahim Sekeleti akienda Sawa Siku Ya leo

Sipho Makabane akiwa kikazi Zaidi siku Ya leo

Sehemu Ya Umati Wa Watu

Rose akiendelea na Kazi huku Waandishi na Walinzi wakiwa wamemzunguka

Sipho akijiandaa kuingia Jukwaani

Pole Pole akisogelea Umati Wa watu

Koti Likawa Zito

Kikazi Zaidi

Hapa wakitengeneza Tangazo la Chomoza

Bon Mwaitege akiwa mbele ya Camera Man Ray wa Clouds Tv.

Sipho akienda Sawa na Wananchi siku ya leo

Watu Nyomiiiii

Wakati
Sipho akiimba ni kama ilikuwa Mchaka Mchaka Kulia ni Anastazia, Rose
Muhando Upendo Nkone na Solomon Yakima Support Sipho.

John Lisu

Credit to Sam sasali.
No comments:
Post a Comment