Wednesday, January 9, 2013

Dunia sasa Kushnei, Sasa Mabenchi yageuzwa Gesti huko Kenya!!!

Hakika  huu ndo mwisho wa dunia........Huu  ni  uchafu  ambao hufanyika  katika  Garden moja ijulikano kwa  jina  la  Murilo.......

Ni  kitovu  cha uchafu,  laana, maasi  na  dhambi  zooooooote   unazozijua  hapa duniani........

Hiyo ni  kambi ya Vigogo,wanasiasa  na  wasanii  mbali mbali  toka  Tanzania, Kenya na Uganda.......
Kahaba  ni kahaba tu......Malaya  ni  malaya tu.  Hakika  wanadamu tumeasi.Iko haja  ya  kumrudia  mwenyezi mungu........
 Kitovu  cha uchafu huo kipo Kenya.

1 comment:

Anonymous said...

uko juu mzee nimekukubali sana