Wednesday, January 30, 2013

USHAHIDI WA PICHA TATU ZA LULU BAADA YA DHAMANA KUKAMILIKA, MUDA MFUPI KABLA YA KUINGIA URAIANI

Lulu na mama yake mzazi wakilia baada ya kukutana nje ya Mahakama, Lulu amechiwa huru na Mahakama leo january 29 2013 mchana, pembeni ni mwigizaji Dr. Cheni ambae amekua karibu na familia ya Lulu kwa muda mrefu sana.
Lulu akiingia kwenye gari.
Machozi ya furaha.
Picha zote zimepigwa na habarimpya.com

No comments: