Picha ya mrembo aliyeuawa na mpenzi wake Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius
Hii ni picha ya mchumba wa mshindi wa medali ya dhahabu wa riadha ya walemavu wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius, aliyeuliwa kwa risasi leo asubuhi na mpenzi wake huyo.
Gazeti la Beeld limeripoti kuwa mwanariadha huyo Pistorius alidhania mpenzi wake huyo,Reeva Steenkamp waliyedumu naye kwa mwaka mmoja kuwa ni jambazi aliyevamia nyumbani kwake Pretoria. Reeva alikuwa mwanamitindo wa nchini Afrika Kusini aliyekuwa ameanza kupata mafanikio.

tagazo
No comments:
Post a Comment