
MBUNGE
wa Viti Maalumu, Pauline Gekul (Chadema) amepinga serikali kutenga Sh
bilioni sita kwa ajili ya ukarabati wa sehemu inayovuja katika jengo la
Bunge.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya Waziri Mkuu
kwa mwaka wa fedha 2013/2014, Gekul alisema si sahihi kwa kutengwa fedha
zote hizo huku kuna hospitali za rufaa zinahitaji fedha na zimeomba
siku nyingi lakini
..read more
Source:
HabariLeo
No comments:
Post a Comment