Katika
hali ya kustaajabisha sana msanii anayemake headline katika muziki wa
Kidunia ajulikanaye kama Rihanna, ametinga katika party ijulikanayo
kama Annual Kadooment Day celebration huko Barbados sehemu ambayo
alizaliwa, katika party hiyo Rihanna aliamua kufanyia sherehe hiyo
mtaani huku akiwa uchi kama picha na video inayoonekana.....Tazama
picha na video mwenyewe ujionee dunia ilivyoisha
VIDEO HAPA:
No comments:
Post a Comment