Friday, July 19, 2013

BASI LA NAJMUNISA LAPATA AJALI NA KUUA WANNE DODOMA



Basi la Najmunisa linalofanya safari zake kati ya mikoa ya Dar es Salaam na Mwanza limepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma na kuua watu wanne huku likiacha majeruhi kadhaa.

Basi hilo lililokuwa linaelekea Mwanza lilipata ajali hiyo baada ya kupasuka tairi la mbele.

Mali za abiria inaelezwa zipo salama kutokana na uwepo wa Check Point ya polisi jirani na eneo la ajali.


No comments: