Saturday, July 6, 2013

SKENDO: BINTI APATA YA AIBU KUBWA BAADA KUNASWA AKIIBA SIMU NA KUIFICHA KWENYE NYETI ZAKE......!!





 Tukio hili limetokea huko Nigeria ambapo binti anayesemekana ni wa mwaka wa kwanza alikwenda kutembea katika hostel za wenzake na alipopata mwanya akaiba simu aina ya Black Berry.

 Hata hivyo baada ya mwenye simu kushtuka binti huyo aligoma kuichukua simu hiyo na

ndipo watu
walipoamua kuipiga na kuanza kuita ikiwa sehemu za siri. Baada ya tukio hilo wavulana kutoka vyumba vya pembeni walikuja na kumsachi huku wakimvua nguo, hakuwa na la ziada zaidi ya kuwa mpole wakati watu wakimpiga picha hizo za aibu.


SOURCE: MASAI BLOG

No comments: