Wednesday, September 18, 2013

DOKTA NIWE NAMLETA MARA NGAPI KWA WIKI?


Harusi ilishapita mwezi, bwana na bibi harusi wakawa wanataka kupata mtoto lakini hawajui tendo gani wafanye ili mimba itokee. Wakaenda kwa daktari kumueleza tatizo lao, akawatafutia kitabu cha watoto wadogo chenye maelezo rahisi baada ya siku mbili wakarudi na kulalamika kuwa hawajaelewa kitu, akawapa picha waangalie, wakadai hawaelewi, akawatafutia video zenye shughuli hiyo 'live' bado wakadai hawaelewi, daktari sasa akakasirika akamuita jamaa na mkewe kwenye ofisi yake, walipofika tu daktari akamshughulikia mke wa jamaa mbele yake ili jamaa aone kinachofanyika, alipomaliza wakati anavaa na mke yuko hoi;
DAKTARI: Umeona sasa kazi inayotakiwa kufanywa?
MUME: Dah asante sana dokta pole kwa kazi, sasa niwe namleta mara ngapi kwa wiki?

No comments: