Sunday, October 27, 2013

JUST IN: WEMA SEPETU AFIWA NA BABA YAKE MZAZI, MZEE BALOZI ABRAHAM ISAAC SEPETU


Pichani ni Waziri wa Mambo ya Ndani, DR. William Nchimbi, akimpa pole Balozi Isaac Sepetu alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake September 21, 2013.
Wema (kulia) akiwa na baba yake (kati), kushoto ni meneja wake anayejulikana kwa jina la Petitman.
Balozi Abraham Isaac Sepetu amefariki dunia mapema leo akiwa katika hospitali ya TMJ alikokuwa amelazwa akitibiwa ugonjwa wa Kisukari na kiharusi alioupata hivi karibuni mjini Zanzibar. Balozi Sepetu, ambaye pia ni baba mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu, hadi anapatwa na ugonjwa na hatimaye mauti, alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Uwekezaji wa Vitega Uchumi Zanzibar. PICHA: Maktaba/GPL

No comments: