Sunday, October 27, 2013

Mhudumu wa baa iliyopo maeneo ya posta jijini Dar anaswa akimnyonya maziwa mteja wake


mhudumu wa baa
Muhudumu wa kiume wa baa moja maarufu iliyopo Posta Jijini Dar hivi karibuni alinaswa akifanya ufuska kwa kumnyonya maziwa hadharani mteja wake wa kike.
 
Tukio hilo ambalo lilishuhudiwa pia na wahudumu wa baa hiyo  lilitendwa  na  jamaa  huyu  kwa  mrembo  ambaye  alionekana  kunywa  pombe  kupita kiasi , hali  iliyomfanya  asijitambue
 
 1
Kijana huyo aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Chambuso alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya menejaa wake kufika na kushuhudia tukio hilo, hali  iliyomlazimu  meneja  huyo  kuchukua   uamuzi  mgumu  wa  kumtimua  kazini

No comments: