Friday, January 11, 2013

ibu Jamani-Huu ndio Uchafu Ulio Tawala ndoa Nyingi za Leo





Kama mtu  ana akili nzuri naamini  atakuwa ni mwerevu. Nawasihi wanawake  muache tabia  ya  AIBU.Muulize kinachomsibu mumeo.

Kama unaogopa kumwambia basi unaweza kumwanzisha tu pole pole wakati wa mnafanya mapenzi. Mwambie leo nataka unishike hapa. Leo tujaribu staili hii, napenda ukifanya hivi, usiwe unakuja mapema...Dear uko bize mno, naomba uwe unanijali na tufanye mara kwa mara...


Wanaume ni kama watoto wadogo na ukiwa mjanja unaweza kumbadilisha unavyotaka hasa katika mambo ya mapenzi...Vinginevyo  utakuwa ni mtu  wa  kuibiwa kila leo.


Hata huko nje utapata mume wa mtu. Mwanzoni mambo yatakuwa moto lakini baadaye mtazoeana na mambo yatakuwa yale yale.


Halafu kama ni mume wa mtu na anafanya nje  ya ndoa , unajuaje kama hana mnyororo wa wanawake huko nje?. Mmoja tu akiwa na UKIMWI kwenye huo mnyororo basi kila memba wa huo mnyororo anaishia kuudaka....

No comments: